Karamu Mbinguni
Paperback
ISBN13: 9789966472342
Publisher: Phoenix Publishers
Published: Jul 18 2022
Pages: 56
Weight: 0.12
Height: 0.12 Width: 5.00 Depth: 7.00
Language: Swahili
Kutokana na sifa zao njema kwake Mwenyezi Mungu, ndege wamepata mwaliko wa kutalii mbinguni. Wamepewa uwezo wa kuyabadilisha maumbile yao vile wanavyotaka. Katika kufanya hivi, wengine kama Bundi wanaongozwa na nia mbaya. Mzee Kobe naye anadanganya kuwa ukoo wake ulitokana na ndege. Kwa wale wenye nia safi, karamu ya mbinguni inaishia kuwa furaha isiyo kimo. Wenye nia mbaya nao wanaupata mshahara wa vitendo vyao. Chongameno ni kijana mchungaji aliyejaaliwa haiba ya mwili na roho. Alice ni msichana aliyezaliwa katika mali na anasa. Lakini pendo halitambui tabaka, na Alice anampenda Chongameno. Juhudi za kulitoroka pendo hili zinaishia katika balaa kwa wote wawili. Hii ni hadithi iliyofumwa kitaalamu na mmoja wa waandishi walioheshimika sana katika Afrika ya Mashariki.
Also from
Kimunyi, Njiru
Also in
Young Adult Fiction
The Odyssey: A Graphic Novel: (A Modern Visual Adaptation of Homer's Epic Tale of Greek Mythology for Young Adults)
Hinds, Gareth
Paperback
Piper at the Gates of Dusk: (A Young Adult Dystopian Adventure of Survival, Identity, and a Divided Future World)
Ness, Patrick
Hardcover
The Absolutely True Diary of a Part-Time Indian (National Book Award Winner)
Alexie, Sherman
Paperback
Legendary Frybread Drive-In: Intertribal Stories
Gansworth, Eric
Smith, Cynthia Leitich
Hart, Kate
Hardcover
Once Upon a Broken Heart Collector's Edition: [Limited Stenciled Edge Edition]
Garber, Stephanie
Hardcover
