• Open Daily: 10am - 10pm
    Alley-side Pickup: 10am - 7pm

    3038 Hennepin Ave Minneapolis, MN
    612-822-4611

Open Daily: 10am - 10pm | Alley-side Pickup: 10am - 7pm
3038 Hennepin Ave Minneapolis, MN
612-822-4611
Ua Ama Ufe

Ua Ama Ufe

Paperback

Mystery & Thriller

ISBN10: 9912420438
ISBN13: 9789912420434
Publisher: Mambosasa
Published: Jul 20 2024
Pages: 216
Weight: 0.56
Height: 0.49 Width: 5.50 Depth: 8.50
Language: Swahili

Baada ya kufanya kazi za upelelezi wa muda mrefu, akihusika na mambo yanayohusiana ndani ya nchi ya Tanzania. Tatizo kubwa lilitokea, ni baada ya kufika taarifa ya usaliti wa jasusi mmoja wa EASA aliyetorokea jimbo la Juba kusini mwa Somalia.

Taarifa inasemekana alimjeruhi mwenzake vibaya, ambaye alitibiwa na kupona na alibaki nchini Kenya akiendelea na kazi zingine. Wakati huyo msaliti akiendelea kujichimbia nchini Somalia.

Also from

Mambosasa, Hassan

Also in

Mystery & Thriller