• Open Daily: 10am - 10pm
    Alley-side Pickup: 10am - 7pm

    3038 Hennepin Ave Minneapolis, MN
    612-822-4611

Open Daily: 10am - 10pm | Alley-side Pickup: 10am - 7pm
3038 Hennepin Ave Minneapolis, MN
612-822-4611
Rasta

Rasta

Paperback

General Fiction

ISBN10: 1300840064
ISBN13: 9781300840060
Publisher: Lulu.com
Published: Mar 15 2013
Pages: 68
Weight: 0.23
Height: 0.16 Width: 6.00 Depth: 9.00
Language: Swahili
Drama hii ya Rasta inamhusu msichana ambaye alipata ajali ya pikipiki na kupata ulemavu wa maisha. Rasta kutokana na ulemavu huo analazimika kutumia kiti mwendo kwa ajili ya kutembelea. Familia ya Rasta na majirani ni watu wenye upendo wa hali ya juu na mfano wa kuigwa. Vivyo hivyo shuleni, kuna baadhi ya wanafunzi wana mitazamo hasi juu ya Rasta lakini walimu wanasaidia kufuta mitazamo hiyo hasi; na hatimaye kuwa na mitazamo chanya kuhusu ulemavu na watu wenye ulemavu. Mbali na suala la ulemavu kusguhulikiwa katika drama hii, pia suala la rushwa linaangazwa huku likiacha majeraha makubwa sana kwa wananchi walalahoi ambao 'mkono mtupu haulabwi'. Ungana na mtunzi wako ili ujue yaliyomo ndani ya tamthiliya hii.

Also from

Mahenge, Elizabeth

Also in

General Fiction