• Open Daily: 10am - 10pm
    Alley-side Pickup: 10am - 7pm

    3038 Hennepin Ave Minneapolis, MN
    612-822-4611

Open Daily: 10am - 10pm | Alley-side Pickup: 10am - 7pm
3038 Hennepin Ave Minneapolis, MN
612-822-4611
A Fiery Prophet and a People of Wook - Swahili Edition: Mtazamo Wa Ibada Katika Maisha Na Ujumbe Wa Nabii Yeremia

A Fiery Prophet and a People of Wook - Swahili Edition: Mtazamo Wa Ibada Katika Maisha Na Ujumbe Wa Nabii Yeremia

Paperback

Bible Studies

Publisher Price: $10.99

ISBN10: 1927998581
ISBN13: 9781927998588
Publisher: Light to My Path Book Distribution
Published: Nov 19 2024
Pages: 188
Weight: 0.49
Height: 0.40 Width: 5.50 Depth: 8.50
Language: Swahili
Nabii Wa Moto Na Watu Waliogeuka Kuni

Nabii wa moto, hivyo ndivyo Yeremia alivyokuwa. Ujumbe wake ulichoma wale waliomsikia akisema. Hakuna mtu anayependa kuchomwa moto. Kwa sababu hiyo, wasikilizaji wake walitaka kumuua. Wakamtupa gerezani. Hakuwa na marafiki wengi. Hakuwahi kuoa na hakuwa na watoto wa kuendeleza jina lake. Kwa miaka arobaini, hata hivyo, alitangaza neno la Bwana kwa uaminifu kwa watu ambao waligeuza migongo yao na kuziba masikio yao. Yeye ni mfano wa ibada ya kweli na uvumilivu. Utafiti huu unachunguza matukio muhimu na jumbe za mtu huyu mkuu wa Mungu.

Also from

Mac Leod, F. Wayne

Also in

Bible Studies