• Open Daily: 10am - 10pm
    Alley-side Pickup: 10am - 7pm

    3038 Hennepin Ave Minneapolis, MN
    612-822-4611

Open Daily: 10am - 10pm | Alley-side Pickup: 10am - 7pm
3038 Hennepin Ave Minneapolis, MN
612-822-4611
Kumtumaini Yesu

Kumtumaini Yesu

Paperback

Gifts & Stationery GeneralReligion General Christian Music

ISBN13: 9798653577703
Publisher: Independently Published
Published: Jun 18 2020
Pages: 206
Weight: 0.68
Height: 0.47 Width: 6.00 Depth: 9.00
Language: English
Kitabu hiki cha pekee ni mkusanyiko wa mahubiri ya kusisimua yanayochochea matumaini, faraja na ukuaji kiroho kwa kila mtu--mkubwa na mdogo. Hotuba za pekee zilizobadilisha maisha ya watu wengi Afrika na Amerika Kaskazini zimejengwa katika Biblia, Agano Jipya. Msomaji anapozisoma atapata muonjo wa kile ambacho kiliwafanya maelfu ya watu waliomsikiliza Mchungaji Christopher Mwashinga akihubiri wafurike kumsikiliza. Ni matumaini yetu kwamba msomaji atapata uzoefu mpya kabisa asomapo mahubiri haya na kufurahia utamu wa Neno la Mungu liwaongozao wanadamu katika kumjua Mungu wa pekee wa kweli na Yesu Kristo aliyemtuma (Yoh. 17:3).

1 different editions

Also available

Also in

Gifts & Stationery General